Breaking News

MAAJABU -SAMAKI MKUBWA AONEKANA KILWA





ULE usemi usemao ‘Si kila avumae baharini ni papa! Leo umejidhihirisha katika mji wa Kilwa Masoko eneo la bahari ya Hindi, baada ya kuonekana samaki mkubwa zaidi ya papa.
Hata hivyo inaelezwa kuwa bado jina la samaki huyo halijafahamika.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa upo uwezekano mkubwa kwamba samaki hiyo amekufa siku mbili ama tatu zilizopita lakini kwa kuwa maji yalikuwa mengi walishindwa kumuona.

“Tulishindwa kumuona pengine kwasababu ya maji mengi lakini leo nyakati fulani hivi kwasababu yamepungua ndio tulipomuona.
Samaki huyo alizua tafrani kwa watu wengi kujitokeza kumsuhudia ama kuondoa ushama pamoja na kuthibitisha usemi wa wahenga  wetu  “Ama kweli wanyama wakubwa wapo baharini.
 
Samaki aliyeonekana
Mashuhuda

Hakuna maoni