Breaking News

Kutana na mbwa mwenye pua mbili




KARIBU m,tembeleaji wa blogu yako "UKWELI USIOFICHIKA" Bila shaka sote tunamfahamu mbwa, tabia na hata muonekano wake, lakini huenda ukastaajabu kupata taarifa ya mbwa anayefahamika kwa jina la Toby mwenye pua mbili.

Toby ni mbwa huyo ana ulemavu wa pua hali ambayo humfanya aonekane tofauti na wenzake, kama ilivyo kwa binadamu kuwa na kilema kulingana na uumbaji wa Mungu

Todd Ray ambaye ndio mmiliki wa mbwa huyo alikaririwa na mtandao mmoja akisema alikuwa kwenye ufukwe wa Venice huko California, bahati nzuri akamuona mbwa wa maajabu (Toby) akikatisha, lakini alikwa tofauti.

Nilivutiwa na Toddy nikaamua kumchukua ili nimtunze nyumbani kwangu lakini kila mtu anayemuona huvutiwa nae kwani ni mbwa mzuri ambaye hajawahi kuonekana duniani.’

“Hawezi kunyanyua pua zake juu kwa pamoja wala kuzishusha chini kwa pamoja, lakini ana uwezo wa kunusa vizuri harufu ya umbali mrefu kuliko kuliko mbwa wa kawaida.

Hakuna maoni