Breaking News

Kilimo chawakimbiza vijana vijijini na kuja mjini kufanya biashara ya udereva wa bodaboda




IMEELEZWA kuwa vijana wengi Wilaya ya Mkurangamkoani Pwani, wamekimbia kijijini kilimo na kuingia Mkuranga mjini wakilenga kufanya biashara ya kuendesha bodaboda.
Mbali na kukimbilia mini,pia kundi kubwa ambalo linaendesha vyombo hivyo,hawana ujuzi wa she ria za barabarani na halo hiyo kusababisha ajali kutokea Mara kwa Mara.
Hayo yalisemwa na Inspekta wa Polisi wa usalama barabarani wa Wilaya hiyo, Hamidu Mtiginjora,
alisemapamoja na kuwapatia elimu ya barabarani madereva wa bodaboda,lakini back kuna kundi la vijana wanatoka vijijini na kukimbilia mini kuja kuendesha vyombo hiyo.

“Kuna madereva ambao tunawapatia mafunzo,lakini cha kushangaza unaona kesho kikundi cha vijana kimeingia mini na kuendesha vyombo hi yo,bira ya kuwa na elimu,”alisema
Aliongeza kuwa katika kipindi cha mwaka huu Machi  hadi Me I,ajali zilitokea 10,ambapo majeruhi,walimuwa wanne huku vivo vikiwa sita.
Alisema hizo ajali zimetokana na bodaboda dereva kubeba abiria zaidi ya mmoja,kutovaa helmet ,mwendo kasi na madereva kutumia viroba.
Jamal Rwey am aye no mmoja wa waathirika wa ajali ya bodaboda,alisema kuwa pamoja na ajali kupata mpaka salsa hajalipipwa fidia yoyote.
“Nilipanda bodaboda,mwendo wa dereva ulikuwa Kali tulipopata ajali nilivunjika mguu,mpaka salsa nimekuwa mlemavu,sijalipwa fidia yoyote”,alisema.
Aliongeza kuwa kuna kuna Baja ya sheria kuboreshwa kutokana name adhabu ndogo kutolewa kwa madereva.
Pia mafunzo kwa bodaboda yawe yanatolewa kutokana na vijana wengi kuingia katika biashara hiyo na wengine no wadogo hawana sofa ya kutumia vyombo hiyo.
===================   

Hakuna maoni